from UHONDO KITANDANI http://bit.ly/2ZIfpcn
Monday, April 29, 2019
HI BABY!!! REACH ME THROUGH MY WHATSAAP NO
Double tap to see her number
from UHONDO KITANDANI http://bit.ly/2WgNSN2
from UHONDO KITANDANI http://bit.ly/2WgNSN2
ATHARI ZA KUWA MAPENZINI NA SUGER MAMY
Habari za muda huu mdau na mfuatiliaji wa makala mbalimbali zinazokujia kupitia hapa, naomba nichukue nafasi hii kukuarika rasmi mahala hapa ambapo siku ya leo tutangalia athari za kuwa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi umri.
Katika jamii zetu za kiafrika suala la mwanaume kumzidi umri mwanamke katika sekta ya mahusiano limekuwa ni suala la kawaida sana, lakini pindi inavyotokea kinyume chake watu wengi hubaki vinywa wazi huku watu wengi wakishangaa kuona mwanamke mwenye umri mkubwa akiolewa ni mwanaume mwenye umri mdogo.
Jambo hili huendelea kuleta gumzo sana, hasa pale linapotokea katika jamii yetu, hii ni kwa sababu inaaminika ya kuwa mwanaume ndio nguzo ya mahusiano hivyo mwanaume anatakiwa kumzidi umri mkewe, inapotokea kinyume chake huwa kuna athari kubwa katika mahusiano hayo.
Zifuatazo ndizo athari za kuwa na mahusiano na mwanamke ambaye amekuzidi umri:
1. Kupelekeshwa.
Unapokuwa na mahusiano na msichana ambaye amekuzidi umri basi jiandae kisaikolojia kupelekeshwa na msichana huyo, sikutishi ila nakwambia ukweli lengo la kuingia kwenye mahusiano ni kupata amani ya moyo, hivyo unapoingia katika mahusiano ya kimapenzi na msichana aliyekuzidi umri ni lazima utakosa kitu hiki kwa sababu ukweli ambao upo wazi ni kwamba msichana anapokuzidi umri basi yeye ndiye anayegeuka kuwa kichwa cha mahusiano. Hivvyo kitu chochote asemacho aidha ni kizuri au kibaya anategemea utakifanya kitu hicho.
Unapokuwa na mahusiano na msichana ambaye amekuzidi umri basi jiandae kisaikolojia kupelekeshwa na msichana huyo, sikutishi ila nakwambia ukweli lengo la kuingia kwenye mahusiano ni kupata amani ya moyo, hivyo unapoingia katika mahusiano ya kimapenzi na msichana aliyekuzidi umri ni lazima utakosa kitu hiki kwa sababu ukweli ambao upo wazi ni kwamba msichana anapokuzidi umri basi yeye ndiye anayegeuka kuwa kichwa cha mahusiano. Hivvyo kitu chochote asemacho aidha ni kizuri au kibaya anategemea utakifanya kitu hicho.
2. Kutokuwa na maaumuzi yako.
Unapoingia katika mahusiano na msichana ambaye amekuzidi umri basi fahamu fika yeye ndiye ambaye atakuwa ni kiongozi wa maamuzi yako, Kama unataka kufanya jambo lolote la msingi ni kwamba huwezi kukurupuka na kuanza kufanya jambo hilo pasipo kumshikirikisha huyo b. mkubwa katika suala la kutoa maumuzi.
Unapoingia katika mahusiano na msichana ambaye amekuzidi umri basi fahamu fika yeye ndiye ambaye atakuwa ni kiongozi wa maamuzi yako, Kama unataka kufanya jambo lolote la msingi ni kwamba huwezi kukurupuka na kuanza kufanya jambo hilo pasipo kumshikirikisha huyo b. mkubwa katika suala la kutoa maumuzi.
Hayo ni baadhi ya matokeo machache kati ya mengi ambayo utayapata pindi utapokuwa na mahusiano na msichana aliyekuzidi umri.
Hivyo ili kuepukana na kupelekeshwa, pia kupata uhuru wa kutoa Maamuzi katika mahusiano ya kimapenzi, mwanaume anatakiwa kumzidi umri au kuwa sawa na mpenziwe.
from UHONDO KITANDANI http://bit.ly/2INobR1
HIZI HAPA TABIA ZA MWANAMKE AMBAE HAJATULIA
Mwanamke ambaye ni muhuni kwa hapa mtaani kwetu huwa anaitwa majina mengi sana, wengine humuita danga, kicheche, kiwembe na mengineyo mengi. Hata hivyo pamoja na kuwapo kwa majina hayo wengi wa wanaume bado hawajajua ni kwa namna gani wanaweza kumjua mwanamke ambaye hajatulia, makala haya ni jibu tosha.
Hivi ndivyo utakavyoweza kumjua mwanamke ambaye hajatulia:
Siyo rahisi kupenda
Dalili ya kwanza ya mwanamke kicheche mi kwamba huwa huwa mara nyingi hawataki mambo ya mahusiano na mambo ya kupendana, wanataka siku zote wawe huru hata mtu yeyote mwenye uwezo zaidi ya aliyenaye akitokea, iwe rahisi kwake kujihusisha naye. Utasikia akisema tuwe Marafiki tuu.
Anachukulia mahusiano kama njia ya kujinufaisha
Wanawake vicheche huwa hawaingii katika mahusiano kwa sababu wamependa, siku zote wanakuwa na agenda ya siri nyuma yake, unaweza kuita faida, kiujumla kwa kitu chochote atakachokupa katika mahusiano, ujue hapo anatarajia faida yake, utakuta anakuchangamkia na kukufanyia vitu ambavyo hukutarajia, ila lengo lake mwisho wa siku utakuta anaishia kukuomba kitu fulani kutoka kwako. Yupo tayari kufanya chochote hata kama kinamgarimu ilimradi apate kile anachokitaka.
Anategeka kirahisi kwa vitu vidogo na kwa mtu yoyote.
Kwa kawaida mwanamke kicheche, pale tu utapomfurahisha na kumpa zawadi, au hela kila akuombapo unamsaidia, ni rahisi sana kukubali chochote utakacho mwambia afanye, haijalishi kuwa unamalengo gani nae ya baadae au la, ilimradi tu unampa anachotaka. Na hii hutokea kwa kila mwanaume anayemkuta ambaye anaweza kumpa kile anachotaka basi atamfanyia chochote huyo mwanaume anachotaka.
Anamarafiki wakiume kwa manufaa
Mwanamke kicheche huwa na Marafiki wengi wa kiume kila mmoja kwa ajili ya faida. Mwanamke kuwa na marafiki wa kiume siyo tatizo, ila tatizo linakuja pale ukute mwanamke ana marafiki wa kiume ambao kila rafiki yake huyo anajukumu lake katika maisha yake, kifaida zaidi na siyo tu rafiki wa story za hapa na pale. Unakuta Marafiki hao wote kila mtu anahudumia na wote unaambiwa ni marafiki tu, unaweza kusikia huyu wa kulipia saloon, mwingine wa vocha n.k, basi ujue huyo ni kicheche.
Ni rahisi kuvunja mahusiano usipompa anachotaka.
Mwanamke kicheche anakasirika haraka usipompa kile anachokitaka. Wanawake kama hawa wamezoea kupata kitu chochote watakacho kutoka kwa mwanamme, na ukibahatika kupendwa na mtu kama huyu ujue si bure, ameona kuna kitu utakachoweza kumsaidia, wengine utakuta wanapohitaji kitu wanazunguka na story nyingi ila mwisho wa siku kama mtu muelewa utajua tu anataka nini, tena hata kubembelezwa hashindwi, ila usimpe sasa anachohitaji, unaweza usiongeleshwe wiki nzima hadi pale utapokamilisha hitaji lake. Ukishindwa kabisa kumpa anachokitaka basi anavunja uhusiano na wewe na kutafuta mtu mwingine anayeweza kumpa anachokitaka.
from UHONDO KITANDANI http://bit.ly/2vqaH4X
YAJUE MADHARA YA KUNYOA MAVUZI KABLA YA TENDO
Kulingana na Dkt Ignitius Kibe, Mungu aliumba binadumu awe na nywele hizo anapobalehe kwa sababu kadhaa na pia zina umuhimu sana hasa wakati wapenzi waposhiriki kitendo cha ndoa.
Akiwa kwenye mahojiano na runinga ya Citizen Jumatano Machi 27, daktari huyo alisema nywele hizo husaidia sana wakati wa kitendo cha ndoa.
Aidha, daktari huyo alisema sio salama kuzinyoa kwani mtu anaweza pata vipele na michubuko kwenye sehemu za siri
" Mimi kwangu binafsi napendelea hizo nywele ziwepo, zina umuhimu sana wakati wapenzi wanaposhiriki kitendo cha ndoa," Dkt Kibe alisema.
Daktari huyo alisema wale ambao hunyoa nywele hizo wanahatarisha maisha yao kwani ni rahisi kuambukiwa magonjwa ya zinaa.
from UHONDO KITANDANI http://bit.ly/2GHAVVZ
Subscribe to:
Posts (Atom)