Utakuta wasichana hao wana kazi, wana biashara ila kutwaa kuombaomba.
Hii tabia imefanya wanaume waone kuwa wasichana wote wanatabia hiyo hiyo.
Pia imesababisha hata kushindwa kuwapa hela wale wasioomba eti kwakuwa wanakuwa wanawapima tabia hiyo.
Enyi wasichana 'ombaomba' acheni tabia hiyo, mnashusha heshima za wasichana wote
from UHONDO KITANDANI https://ift.tt/2YLE0jI
No comments:
Post a Comment