Tuesday, June 18, 2019

JE NI SAHIHI KUZUNGUMZA NA MARAFIKI JUU YA UHUSIANO WAKO WA KIMAPENZI?SOMA HAPA


Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha katika uhusiano wako wa kimapenzi. Hii i ii inaeleweka kabisa, ali mradi i uheshimu usiri na msimamo wa mpenzi wako.Hii i ii ina maana kuwa utawahusisha marafiki zako wa karibu na siyo hadharani na pia ni vema kama utafanya hivyo basi usitumie maneno ya kujigamba juu ya uzoefu au hata kukuza vitimbwi ambavyo kweli havikuwepo. Tumia maneno ambayo mpenzi wako naye angependa kuyasikia, yaani maneno ambayo hutaogopa kuyarudia kama angekuwepo na wewe hungejali kama yeye angetumia. Hii i ii itakusaidia kutunza siri na kuwa msiri.





from UHONDO KITANDANI http://bit.ly/2XpAycQ

No comments:

Post a Comment